2 Wafalme 5 : 1 2nd Kings chapter 5 verse 1

Swahili English Translation

2 Wafalme 5:1

Basi Naamani, jemadari wa jeshi la mfalme wa Shamu, alikuwa mtu mkubwa mbele ya bwana wake, na mwenye kuheshimiwa, kwa sababu kwa mkono wake Bwana alikuwa amewapa Washami kushinda; tena alikuwa mtu hodari wa vita; lakini alikuwa mwenye ukoma.
soma Mlango wa 5

2nd Kings 5:1

Now Naaman, captain of the host of the king of Syria, was a great man with his master, and honorable, because by him Yahweh had given victory to Syria: he was also a mighty man of valor, [but he was] a leper.