2 Wafalme 21 : 11 2nd Kings chapter 21 verse 11

Swahili English Translation

2 Wafalme 21:11

Kwa sababu Manase mfalme wa Yuda amefanya machukizo haya, na kutenda vibaya kuliko yote waliyoyatenda Waamori, waliokuwa kabla yake, naye akawakosesha Yuda kwa sanamu zake;
soma Mlango wa 21

2nd Kings 21:11

Because Manasseh king of Judah has done these abominations, and has done wickedly above all that the Amorites did, who were before him, and has made Judah also to sin with his idols;