2 Wafalme 16 : 18 2nd Kings chapter 16 verse 18

Swahili English Translation

2 Wafalme 16:18

Na ukumbi wa sabato walioujenga katika hiyo nyumba, na mahali pa kuingia pake mfalme palipokuwapo nje, akavigeuza kuikabili nyumba ya Bwana, kwa sababu ya mfalme wa Ashuru.
soma Mlango wa 16

2nd Kings 16:18

The covered way for the Sabbath that they had built in the house, and the king's entry outside, turned he to the house of Yahweh, because of the king of Assyria.