2 Wafalme 16 : 15 2nd Kings chapter 16 verse 15

Swahili English Translation

2 Wafalme 16:15

Mfalme Ahazi akamwamuru Uria kuhani, akisema, Juu ya madhabahu hiyo kubwa uiteketeze sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi, na sadaka ya unga ya jioni, na sadaka ya mfalme ya kuteketezwa, na sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, na sadaka yao ya unga, na sadaka zao za kinywaji; ukanyunyize juu yake damu yote ya sadaka ya kuteketezwa, na damu yote ya dhabihu; bali madhabahu ya shaba itakuwa kwangu mimi ili niiulizie.
soma Mlango wa 16

2nd Kings 16:15

King Ahaz commanded Urijah the priest, saying, On the great altar burn the morning burnt offering, and the evening meal-offering, and the king's burnt offering, and his meal-offering, with the burnt offering of all the people of the land, and their meal-offering, and their drink-offerings; and sprinkle on it all the blood of the burnt offering, and all the blood of the sacrifice: but the brazen altar shall be for me to inquire by.