2 Wafalme 15 : 27 2nd Kings chapter 15 verse 27

Swahili English Translation

2 Wafalme 15:27

Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Uzia mfalme wa Yuda Peka mwana wa Remalia alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; akatawala miaka ishirini.
soma Mlango wa 15

2nd Kings 15:27

In the two and fiftieth year of Azariah king of Judah Pekah the son of Remaliah began to reign over Israel in Samaria, [and reigned] twenty years.