2 Wafalme 15 : 25 2nd Kings chapter 15 verse 25

Swahili English Translation

2 Wafalme 15:25

Na Peka mwana wa Remalia, jemadari wake, akamfanyia fitina, akampiga huko Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme, pamoja na Argobu na Arie; na pamoja naye walikuwako watu hamsini wa Wagileadi. Akamwua, akatawala mahali pake.
soma Mlango wa 15

2nd Kings 15:25

Pekah the son of Remaliah, his captain, conspired against him, and struck him in Samaria, in the castle of the king's house, with Argob and Arieh; and with him were fifty men of the Gileadites: and he killed him, and reigned in his place.