2 Wafalme 15 : 17 2nd Kings chapter 15 verse 17

Swahili English Translation

2 Wafalme 15:17

Katika mwaka wa thelathini na kenda wa Uzia mfalme wa Yuda Menahemu mwana wa Gadi alianza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka kumi katika Samaria.
soma Mlango wa 15

2nd Kings 15:17

In the nine and thirtieth year of Azariah king of Judah began Menahem the son of Gadi to reign over Israel, [and reigned] ten years in Samaria.