2 Wafalme 15 : 13 2nd Kings chapter 15 verse 13

Swahili English Translation

2 Wafalme 15:13

Huyo Shalumu mwana wa Yabeshi alianza kutawala katika mwaka wa thelathini na kenda wa Uzia mfalme wa Yuda; akatawala muda wa mwezi mmoja katika Samaria.
soma Mlango wa 15

2nd Kings 15:13

Shallum the son of Jabesh began to reign in the nine and thirtieth year of Uzziah king of Judah; and he reigned the space of a month in Samaria.