2 Wafalme 10 : 31 2nd Kings chapter 10 verse 31

Swahili English Translation

2 Wafalme 10:31

Lakini Yehu hakuangalia, aende katika sheria ya Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote; hakutoka katika makosa ya Yeroboamu, ambayo kwa hayo aliwakosesha Israeli.
soma Mlango wa 10

2nd Kings 10:31

But Jehu took no heed to walk in the law of Yahweh, the God of Israel, with all his heart: he didn't depart from the sins of Jeroboam, with which he made Israel to sin.