2 Wafalme 10 : 31 2nd Kings chapter 10 verse 31
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 10:31
Lakini Yehu hakuangalia, aende katika sheria ya Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote; hakutoka katika makosa ya Yeroboamu, ambayo kwa hayo aliwakosesha Israeli.
|
2nd Kings 10:31But Jehu took no heed to walk in the law of Yahweh, the God of Israel, with all his heart: he didn't depart from the sins of Jeroboam, with which he made Israel to sin. |