2 Mambo ya Nyakati 26 : 21 2nd Chronicles chapter 26 verse 21

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 26:21

Uzia mfalme akawa na ukoma hata siku ya kufa kwake, akakaa katika nyumba ya pekee, kwa kuwa ni mwenye ukoma; maana alitengwa na nyumba ya Bwana; na Yothamu mwanawe alikuwa juu ya nyumba ya mfalme, akiwahukumu watu wa nchi.
soma Mlango wa 26

2nd Chronicles 26:21

Uzziah the king was a leper to the day of his death, and lived in a separate house, being a leper; for he was cut off from the house of Yahweh: and Jotham his son was over the king's house, judging the people of the land.