2 Mambo ya Nyakati 26 : 18 2nd Chronicles chapter 26 verse 18

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 26:18

wakamzuia Uzia mfalme, wakamwambia, Si haki yako, Uzia, kumfukizia Bwana uvumba, ila ni haki ya makuhani wana wa Haruni, waliofanywa wakfu, ili wafukize uvumba; toka katika patakatifu; kwa kuwa umekosa; wala haitakuwa kwa heshima yako kutoka kwa Bwana, Mungu.
soma Mlango wa 26

2nd Chronicles 26:18

and they withstood Uzziah the king, and said to him, It pertains not to you, Uzziah, to burn incense to Yahweh, but to the priests the sons of Aaron, who are consecrated to burn incense: go out of the sanctuary; for you have trespassed; neither shall it be for your honor from Yahweh God.