2 Mambo ya Nyakati 26 : 11 2nd Chronicles chapter 26 verse 11

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 26:11

Zaidi ya hayo Uzia alikuwa na jeshi la watu wa kupigana, waliokwenda vitani vikosi vikosi, sawasawa na hesabu walivyohesabiwa na Yeieli mwandishi, na Maaseya msimamizi, chini ya mkono wa Hanania, mmojawapo wa maakida wa mfalme.
soma Mlango wa 26

2nd Chronicles 26:11

Moreover Uzziah had an army of fighting men, who went out to war by bands, according to the number of their reckoning made by Jeiel the scribe and Maaseiah the officer, under the hand of Hananiah, one of the king's captains.