2 Mambo ya Nyakati 26 : 1 2nd Chronicles chapter 26 verse 1

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 26:1

Na watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, naye alikuwa mwenye miaka kumi na sita, wakamfanya awe mfalme mahali pa Amazia babaye.
soma Mlango wa 26

2nd Chronicles 26:1

All the people of Judah took Uzziah, who was sixteen years old, and made him king in the room of his father Amaziah.