2 Mambo ya Nyakati 20 : 34 2nd Chronicles chapter 20 verse 34

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 20:34

Na mambo yote ya Yehoshafati yaliyosalia, ya kwanza na ya mwisho, angalia, yameandikwa katika tarehe ya Yehu mwana wa Hanani, iliyotiwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli.
soma Mlango wa 20

2nd Chronicles 20:34

Now the rest of the acts of Jehoshaphat, first and last, behold, they are written in the history of Jehu the son of Hanani, which is inserted in the book of the kings of Israel.