1 Samweli 7 : 2 1st Samuel chapter 7 verse 2

Swahili English Translation

1 Samweli 7:2

Ikawa, tangu siku hiyo ambayo sanduku lilikaa Kiriath-yearimu wakati ulikuwa mwingi; kwa maana ulikuwa miaka ishirini; na nyumba yote ya Israeli wakamwombolezea Bwana.
soma Mlango wa 7

1st Samuel 7:2

It happened, from the day that the ark abode in Kiriath Jearim, that the time was long; for it was twenty years: and all the house of Israel lamented after Yahweh.