1 Samweli 20 : 15 1st Samuel chapter 20 verse 15

Swahili English Translation

1 Samweli 20:15

lakini pamoja na hayo, hata jamaa yangu pia hutawaondolea kabisa fadhili zako; la, hata wakati ule Bwana atakapokuwa amewaondoa kabisa adui za Daudi wote pia katika uso wa nchi.
soma Mlango wa 20

1st Samuel 20:15

but also you shall not cut off your kindness from my house forever; no, not when Yahweh has cut off the enemies of David everyone from the surface of the earth.