1 Samweli 10 : 1 1st Samuel chapter 10 verse 1

Swahili English Translation

1 Samweli 10:1

Ndipo Samweli akatwaa kichupa cha mafuta, akayamimina kichwani pake, akambusu, akasema, Je! Bwana hakukutia mafuta [uwe mkuu juu ya watu wake Israeli? Nawe utamiliki watu wa Bwana, na kuwaokoa na mikono ya adui zao; kisha hii itakuwa ishara kwako ya kuwa Bwana amekutia mafuta] uwe mkuu juu ya urithi wake.
soma Mlango wa 10

1st Samuel 10:1

Then Samuel took the vial of oil, and poured it on his head, and kissed him, and said, Isn't it that Yahweh has anointed you to be prince over his inheritance?