1 Samweli 1 : 3 1st Samuel chapter 1 verse 3

Swahili English Translation

1 Samweli 1:3

Na mtu huyo alikuwa akikwea kutoka mjini kwake mwaka kwa mwaka, ili kuabudu, na kumtolea Bwana wa majeshi dhabihu katika Shilo. Na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, makuhani wa Bwana, walikuwako huko.
soma Mlango wa 1

1st Samuel 1:3

This man went up out of his city from year to year to worship and to sacrifice to Yahweh of Hosts in Shiloh. The two sons of Eli, Hophni and Phinehas, priests to Yahweh, were there.