1 Wafalme 8 : 32 1st Kings chapter 8 verse 32

Swahili English Translation

1 Wafalme 8:32

basi, usikie huko mbinguni, ukatende, ukawahukumu watumwa wako; ukimpatiliza mtu mbaya, kwa kuleta njia yake juu ya kichwa chake; na kumpa mwenye haki haki yake, ukimjalia kwa kadiri ya haki yake.
soma Mlango wa 8

1st Kings 8:32

then hear you in heaven, and do, and judge your servants, condemning the wicked, to bring his way on his own head, and justifying the righteous, to give him according to his righteousness.