1 Wafalme 7 : 31 1st Kings chapter 7 verse 31

Swahili English Translation

1 Wafalme 7:31

Na kinywa chake ndani ya taji na juu yake kilikuwa mkono mmoja; na kinywa chake kikaviringana kama kazi ya tako, mkono mmoja na nusu; tena juu ya kinywa chake kulikuwa na nakshi, na papi zao zilikuwa za mraba, wala hazikuviringana.
soma Mlango wa 7

1st Kings 7:31

The mouth of it within the capital and above was a cubit: and the mouth of it was round after the work of a pedestal, a cubit and a half; and also on the mouth of it were engravings, and their panels were foursquare, not round.