1 Wafalme 19 : 12 1st Kings chapter 19 verse 12

Swahili English Translation

1 Wafalme 19:12

na baada ya tetemeko la nchi kukawa na moto; lakini Bwana hakuwamo katika moto ule; na baada ya moto sauti ndogo, ya utulivu.
soma Mlango wa 19

1st Kings 19:12

and after the earthquake a fire; but Yahweh was not in the fire: and after the fire a still small voice.