1 Wafalme 19 : 12 1st Kings chapter 19 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 19:12
na baada ya tetemeko la nchi kukawa na moto; lakini Bwana hakuwamo katika moto ule; na baada ya moto sauti ndogo, ya utulivu.
|
1st Kings 19:12and after the earthquake a fire; but Yahweh was not in the fire: and after the fire a still small voice. |