1 Wakorintho 14 : 2 1st Corinthians chapter 14 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wakorintho 14:2
Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
|
1st Corinthians 14:2For he who speaks in another language speaks not to men, but to God; for no one understands; but in the Spirit he speaks mysteries. |