1 Wakorintho 11 : 17 1st Corinthians chapter 11 verse 17

Swahili English Translation

1 Wakorintho 11:17

Lakini katika kuagiza haya, siwasifu, ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara.
soma Mlango wa 11

1st Corinthians 11:17

But in giving you this command, I don't praise you, that you come together not for the better but for the worse.