1 Mambo ya Nyakati 19 : 2 1st Chronicles chapter 19 verse 2

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 19:2

Naye Daudi akasema, Nitamtendea wema Hanuni, mwana wa Nahashi, kwa kuwa babaye alinitendea mimi wema. Basi Daudi akapeleka wajumbe ili kumtuliza kwa habari za babaye. Wakaja watumishi wa Daudi katika nchi ya wana wa Amoni kwa Hanuni, ili wamtulize.
soma Mlango wa 19

1st Chronicles 19:2

David said, I will show kindness to Hanun the son of Nahash, because his father shown kindness to me. So David sent messengers to comfort him concerning his father. David's servants came into the land of the children of Ammon to Hanun, to comfort him.