1 Mambo ya Nyakati 12 : 20 1st Chronicles chapter 12 verse 20

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 12:20

Naye alipokuwa akienda Siklagi, wakamwangukia hawa wa Manase, Adna, na Yozabadi, na Yediaeli, na Mikaeli, na Yozabadi, na Elihu, na Silethai, maakida wa maelfu waliokuwa wa Manase.
soma Mlango wa 12

1st Chronicles 12:20

As he went to Ziklag, there fell to him of Manasseh, Adnah, and Jozabad, and Jediael, and Michael, and Jozabad, and Elihu, and Zillethai, captains of thousands who were of Manasseh.