1 Mambo ya Nyakati 12 : 2 1st Chronicles chapter 12 verse 2

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 12:2

Walikuwa wenye kupinda upinde, nao walikuwa hodari wa kutumia mkono wa kuume na wa kushoto, kwa kutupa mawe ya teo, na kwa kupiga mishale ya upinde; walikuwa wa nduguze Sauli, wa Benyamini.
soma Mlango wa 12

1st Chronicles 12:2

They were armed with bows, and could use both the right hand and the left in slinging stones and in shooting arrows from the bow: they were of Saul's brothers of Benjamin.