1 Mambo ya Nyakati 11 : 10 1st Chronicles chapter 11 verse 10

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 11:10

Basi hawa ndio wakuu wa mashujaa aliokuwa nao Daudi, waliojitia nguvu pamoja naye katika ufalme wake, pamoja na Israeli wote, ili kumfanya awe mfalme, sawasawa na neno la Bwana alilonena juu ya Israeli.
soma Mlango wa 11

1st Chronicles 11:10

Now these are the chief of the mighty men whom David had, who shown themselves strong with him in his kingdom, together with all Israel, to make him king, according to the word of Yahweh concerning Israel.