Zekaria 14 : 21 Zechariah chapter 14 verse 21
Swahili | English Translation |
---|---|
Zekaria 14:21
Naam, kila chombo katika Yerusalemu, na katika Yuda, kitakuwa kitakatifu kwa Bwana wa majeshi; nao wote watoao dhabihu watakuja kuvitwaa vile vyombo, na kutokosa nyama ndani yake; wala siku hiyo hatakuwamo tena mfanya biashara ndani ya nyumba ya Bwana wa majeshi.</p>
|
Zechariah 14:21Yes, every pot in Jerusalem and in Judah will be holy to Yahweh of Hosts; and all those who sacrifice will come and take of them, and cook in them. In that day there will no longer be a Canaanite in the house of Yahweh of Hosts. |