Zekaria 11 : 5 Zechariah chapter 11 verse 5

Swahili English Translation

Zekaria 11:5

ambalo wenye kundi hilo huwachinja, kisha hujiona kuwa hawana hatia; na hao wawauzao husema, Na ahimidiwe Bwana, kwa maana mimi ni tajiri; na wachungaji wao wenyewe hawawahurumii.
soma Mlango wa 11

Zechariah 11:5

Their buyers slaughter them, and go unpunished. Those who sell them say, 'Blessed be Yahweh, for I am rich;' and their own shepherds don't pity them.