Hesabu 36 : 4 Numbers chapter 36 verse 4
Swahili | English Translation |
---|---|
Hesabu 36:4
Tena itakapokuwapo hiyo yubile ya wana wa Israeli, ndipo urithi wa hiyo kabila ambayo wamekuwa ndani yake utaongezewa huo urithi wao; hivyo urithi wao utaondolewa katika urithi wa kabila ya baba zetu.
|
Numbers 36:4When the jubilee of the children of Israel shall be, then will their inheritance be added to the inheritance of the tribe whereunto they shall belong: so will their inheritance be taken away from the inheritance of the tribe of our fathers. |