Hesabu 36 : 3 Numbers chapter 36 verse 3

Swahili English Translation

Hesabu 36:3

Wakiolewa na watu wa wana wa hizo kabila nyingine za wana wa Israeli, ndipo urithi wao utatwaliwa na kuondolewa katika urithi wa baba zetu, na hiyo kabila watakayotiwa ndani yake itaongezewa urithi wao; basi urithi huo utaondolewa katika kura ya urithi wetu.
soma Mlango wa 36

Numbers 36:3

If they be married to any of the sons of the [other] tribes of the children of Israel, then will their inheritance be taken away from the inheritance of our fathers, and will be added to the inheritance of the tribe whereunto they shall belong: so will it be taken away from the lot of our inheritance.