Hesabu 31 : 47 Numbers chapter 31 verse 47
Swahili | English Translation |
---|---|
Hesabu 31:47
na katika hiyo nusu iliyokuwa ya wana wa Israeli, Musa akatwaa mmoja aliyetolewa katika kila hamsini, wa binadamu na wa wanyama, akawapa Walawi, waliolinda ulinzi wa maskani ya Bwana; kama Bwana alivyomwagiza Musa.
|
Numbers 31:47even of the children of Israel's half, Moses took one drawn out of every fifty, both of man and of animal, and gave them to the Levites, who kept the charge of the tent of Yahweh; as Yahweh commanded Moses. |