Hesabu 31 : 30 Numbers chapter 31 verse 30

Swahili English Translation

Hesabu 31:30

Na katika hiyo nusu ya wana wa Israeli utatwaa mmoja atakayetolewa katika kila hamsini, katika wanadamu, na katika ng'ombe, na katika punda, na katika kondoo, maana, katika wanyama wote, ukawape Walawi, hao walindao ulinzi wa maskani ya Bwana.
soma Mlango wa 31

Numbers 31:30

Of the children of Israel's half, you shall take one drawn out of every fifty, of the persons, of the oxen, of the donkeys, and of the flocks, [even] of all the cattle, and give them to the Levites, who keep the charge of the tent of Yahweh.