Hesabu 25 : 14 Numbers chapter 25 verse 14

Swahili English Translation

Hesabu 25:14

Basi jina la Mwisraeli huyo aliyeuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani, aliitwa Zimri, mwana wa Salu, mkuu wa nyumba ya baba zake, katika kabila la Simeoni.
soma Mlango wa 25

Numbers 25:14

Now the name of the man of Israel that was slain, who was slain with the Midianite woman, was Zimri, the son of Salu, a prince of a fathers' house among the Simeonites.