Hesabu 25 : 14 Numbers chapter 25 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
Hesabu 25:14
Basi jina la Mwisraeli huyo aliyeuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani, aliitwa Zimri, mwana wa Salu, mkuu wa nyumba ya baba zake, katika kabila la Simeoni.
|
Numbers 25:14Now the name of the man of Israel that was slain, who was slain with the Midianite woman, was Zimri, the son of Salu, a prince of a fathers' house among the Simeonites. |