Nehemia 8 : 17 Nehemiah chapter 8 verse 17
Swahili | English Translation |
---|---|
Nehemia 8:17
Na mkutano wote wa watu, waliorudi kutoka nchi ya uhamisho wao, wakafanyiza vibanda, wakakaa katika vibanda hivyo; maana tokea siku za Yoshua, mwana wa Nuni, hata siku ile, wana wa Israeli hawakufanya hivyo. Pakawa na furaha kubwa sana.
|
Nehemiah 8:17All the assembly of those who were come again out of the captivity made booths, and lived in the booths; for since the days of Jeshua the son of Nun to that day the children of Israel had not done so. There was very great gladness. |