Nehemia 10 : 34 Nehemiah chapter 10 verse 34

Swahili English Translation

Nehemia 10:34

Kisha tukapiga kura, makuhani, na Walawi, na watu, juu ya matoleo ya kuni, ili kuzileta nyumbani kwa Mungu wetu, kwa kadiri ya mbari za baba zetu, kwa nyakati zilizoamriwa, mwaka kwa mwaka, kukoka moto madhabahuni mwa Bwana, Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika torati;
soma Mlango wa 10

Nehemiah 10:34

We cast lots, the priests, the Levites, and the people, for the wood-offering, to bring it into the house of our God, according to our fathers' houses, at times appointed, year by year, to burn on the altar of Yahweh our God, as it is written in the law;