Nehemia 10 : 29 Nehemiah chapter 10 verse 29

Swahili English Translation

Nehemia 10:29

wakaambatana na ndugu zao, wakuu wao, nao wakaingia katika laana na kiapo, ya kuwa wataiendea torati ya Mungu, iliyotolewa kwa mkono wa Musa, mtumishi wa Mungu, na kuziangalia, na kuzitenda, amri zote za Bwana, Bwana wetu, na hukumu zake na sheria zake;
soma Mlango wa 10

Nehemiah 10:29

They joined with their brothers, their nobles, and entered into a curse, and into an oath, to walk in God's law, which was given by Moses the servant of God, and to observe and do all the commandments of Yahweh our Lord, and his ordinances and his statutes;