Mika 1 : 6 Micah chapter 1 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
Mika 1:6
Kwa ajili ya hayo nitafanya Samaria kuwa kama chungu katika shamba, na kama miche ya shamba la mizabibu; nami nitayatupa mawe yake bondeni, nami nitaifunua misingi yake.
|
Micah 1:6Therefore I will make Samaria like a rubble heap of the field, Like places for planting vineyards; And I will pour down its stones into the valley, And I will uncover its foundations. |