Malaki 3 : 2 Malachi chapter 3 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
Malaki 3:2
Lakini ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo;
|
Malachi 3:2"But who can endure the day of his coming? And who will stand when he appears? For he is like a refiner's fire, and like launderer's soap; |