Malaki 3 : 16 Malachi chapter 3 verse 16

Swahili English Translation

Malaki 3:16

Ndipo wale waliomcha Bwana waliposemezana wao kwa wao. Naye Bwana akasikiliza, akasikia; na kitabu cha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya hao waliomcha Bwana, na kulitafakari jina lake.
soma Mlango wa 3

Malachi 3:16

Then those who feared Yahweh spoke one with another; and Yahweh listened, and heard, and a book of memory was written before him, for those who feared Yahweh, and who honored his name.