Malaki 2 : 6 Malachi chapter 2 verse 6

Swahili English Translation

Malaki 2:6

Sheria ya kweli ilikuwa kinywani mwake, wala udhalimu haukuonekana midomoni mwake; alikwenda pamoja nami katika amani na unyofu, na kuwageuza wengi hata wakaacha uovu.
soma Mlango wa 2

Malachi 2:6

The law of truth was in his mouth, and unrighteousness was not found in his lips. He walked with me in peace and uprightness, and turned many away from iniquity.