Malaki 2 : 17 Malachi chapter 2 verse 17

Swahili English Translation

Malaki 2:17

Mmemchokesha Bwana kwa maneno yenu. Lakini ninyi mwasema, Tumemchokesha kwa maneno gani? Kwa kuwa mwasema, Kila atendaye mabaya ni mwema machoni pa Bwana, naye huwafurahia watu hao, au, Mungu mwenye kuhukumu yuko wapi?
soma Mlango wa 2

Malachi 2:17

You have wearied Yahweh with your words. Yet you say, 'How have we wearied him?' In that you say, 'Everyone who does evil is good in the sight of Yahweh, and he delights in them;' or 'Where is the God of justice?'