Malaki 2 : 13 Malachi chapter 2 verse 13

Swahili English Translation

Malaki 2:13

Tena mnatenda haya nayo; mnaifunikiza madhabahu ya Bwana kwa machozi, kwa kulia na kwa kuugua, hata asiiangalie tena hiyo dhabihu, wala kuitakabali mikononi mwenu na kuiridhia.
soma Mlango wa 2

Malachi 2:13

This again you do: you cover the altar of Yahweh with tears, with weeping, and with sighing, because he doesn't regard the offering any more, neither receives it with good will at your hand.