Malaki 1 : 13 Malachi chapter 1 verse 13

Swahili English Translation

Malaki 1:13

Tena mwasema, Tazama, jambo hili linatuchokesha namna gani! Nanyi mmelidharau, asema Bwana wa majeshi; nanyi mmeleta kitu kilichopatikana kwa udhalimu, na kilema, na kilicho kigonjwa; ndivyo mnavyoleta sadaka; je! Niikubali hii mikononi mwenu? Asema Bwana.
soma Mlango wa 1

Malachi 1:13

You say also, 'Behold, what a weariness it is!' and you have sniffed at it," says Yahweh of Hosts; "and you have brought that which was taken by violence, the lame, and the sick; thus you bring the offering. Should I accept this at your hand?" says Yahweh.