Luka 5 : 33 Luke chapter 5 verse 33
Swahili | English Translation |
---|---|
Luka 5:33
Nao wakamwambia, Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi, na kuomba dua; na kadhalika wanafunzi wa Mafarisayo; lakini wanafunzi wako hula na kunywa!
|
Luke 5:33They said to him, "Why do John's disciples often fast and pray, likewise also the disciples of the Pharisees, but yours eat and drink?" |