Mambo ya Walawi 6 : 5 Leviticus chapter 6 verse 5

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 6:5

au kitu cho chote ambacho amekiapia uongo; atakirudisha hata kwa utimilifu wake, kisha ataongeza na sehemu ya tano zaidi juu yake; naye atampa huyo mwenyewe, siku hiyo ambayo atakapohukumiwa kuwa mwenye hatia.
soma Mlango wa 6

Leviticus 6:5

or any thing about which he has sworn falsely; he shall restore it even in full, and shall add a fifth part more to it. To him to whom it belongs he shall give it, in the day of his being found guilty.