Mambo ya Walawi 6 : 27 Leviticus chapter 6 verse 27

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 6:27

Kila kitu kitakachoigusa nyama ya sadaka hiyo kitakuwa kitakatifu; tena itakapomwagika damu yake yo yote katika nguo yo yote, utaifua nguo hiyo iliyomwagiwa, katika mahali patakatifu.
soma Mlango wa 6

Leviticus 6:27

Whatever shall touch its flesh shall be holy. When there is any of its blood sprinkled on a garment, you shall wash that on which it was sprinkled in a holy place.