Mambo ya Walawi 6 : 27 Leviticus chapter 6 verse 27
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 6:27
Kila kitu kitakachoigusa nyama ya sadaka hiyo kitakuwa kitakatifu; tena itakapomwagika damu yake yo yote katika nguo yo yote, utaifua nguo hiyo iliyomwagiwa, katika mahali patakatifu.
|
Leviticus 6:27Whatever shall touch its flesh shall be holy. When there is any of its blood sprinkled on a garment, you shall wash that on which it was sprinkled in a holy place. |