Mambo ya Walawi 6 : 16 Leviticus chapter 6 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 6:16
Na unga uliosalia Haruni na wanawe wataula; utaliwa pasipo kutiwa chachu, katika mahali patakatifu; katika ua wa hema ya kukutania ndipo watakapoula.
|
Leviticus 6:16That which is left of it Aaron and his sons shall eat. It shall be eaten without yeast in a holy place. They shall eat it in the court of the Tent of Meeting |