Mambo ya Walawi 5 : 2 Leviticus chapter 5 verse 2

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 5:2

au kama mtu akigusa kitu kilicho najisi, kama ni mzoga wa mnyama wa nyikani aliye najisi, au kama ni mzoga wa mnyama wa mfugo aliye najisi, au kama ni mzoga wa mdudu aliye najisi, naye jambo hilo linamfichamania, akapata kuwa najisi, ndipo atakapochukua uovu wake;
soma Mlango wa 5

Leviticus 5:2

"'Or if anyone touches any unclean thing, whether it is the carcass of an unclean animal, or the carcass of unclean cattle, or the carcass of unclean creeping things, and it is hidden from him, and he is unclean, then he shall be guilty.