Mambo ya Walawi 5 : 13 Leviticus chapter 5 verse 13

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 5:13

Na huyo kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake ambayo katika mambo hayo mojawapo amefanya dhambi, naye atasamehewa; na unga uliosalia utakuwa wa kuhani, kama hiyo sadaka ya unga ilivyokuwa.
soma Mlango wa 5

Leviticus 5:13

The priest shall make atonement for him concerning his sin that he has sinned in any of these things, and he will be forgiven; and the rest shall be the priest's, as the meal offering.'"